Diwani Kata ya Sandali Manispaa ya Temeke Mhe. Christopher Kabalika awasilisha utelekezaji wa Ilani ya CCM mbele ya Halmashauri Kuu

Diwani wa Kata ya Sandali Manispaa Temeke Mhe. Christopher Kabalika amesoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020-2025 mbele ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi ngazi ya Kata hiyo ikiwa imetimia miezi sita tangu aapishwe kuwa Diwani wa Kata hiyo. Katika taarifa yake, Mhe. Kabalika ameeleza jinsi alivyotekeleza